TAARIFA KWA WANAYANGA

20:32
Uongozi wa Young Africans sc unakanusha vikali uvumi was habari zilizoenea
mitandaoni ya kwamba klabu yao inatafuta kocha mpya ambaye ni wa zesco united ya Zambia .hivyo basi taarifa hiyo haina ukweli wowote kwani kwa sasa timu hiyo ipo chino ya mocha mkuu Hans van der pluijm na haina mpango wa kutafuta kocha mwingine..

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »