FIFA KUONGEZA IDADI YA TIMU SHIRIKI KWENYE KOMBE LA DUNIA

12:20
Raisi wa FIFA amesema ana mpango wa kuongeza
idadi ya timu shiriki kwenye kombe la dunia.hii ni moja ya ahadi zake alizo zitoa wakati wa kampeni zake kuwania kiti hicho.Hivyo kupelekea idadi ya timu kutoka afrika kuongezeka hadi  kufikia nane.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »