Hata hivyo msemaji wa mbeya city fc amesema hawana wasiwasi juu ya hill kwani simba sc hukosa matokeo mazuri kwenye uwanja huo wa sokoine jijini Mbeya..
Pia kesho Yanga sc itaikaribisha Mtibwa sugar kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na Azam fc itakuwa ugenini kukipiga dhidi ya Stand utd.

EmoticonEmoticon