TRUMP AONGOZA KWA KURA

06:34
Mgombea wa Urais wa Marekani wa chama cha Republican, Donald Trump akizungumza kwenye mdahalo wa tatu uliofanyika Jumatano
Katika mdahalo wa tatu na wa mwisho uliofanyika Jumatano hii, mgombea huyo kupitia chama cha Republican, amesema ana wasiwasi kura zitaibiwa. Amedai kuwa mpinzani wake, Hillary Clinton wa chama cha Democratic, hakutakiwa hata kuwania nafasi hiyo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »