Katika mdahalo wa tatu na wa mwisho uliofanyika Jumatano hii, mgombea huyo kupitia chama cha Republican, amesema ana wasiwasi kura zitaibiwa. Amedai kuwa mpinzani wake, Hillary Clinton wa chama cha Democratic, hakutakiwa hata kuwania nafasi hiyo.
TRUMP AONGOZA KWA KURA
Katika mdahalo wa tatu na wa mwisho uliofanyika Jumatano hii, mgombea huyo kupitia chama cha Republican, amesema ana wasiwasi kura zitaibiwa. Amedai kuwa mpinzani wake, Hillary Clinton wa chama cha Democratic, hakutakiwa hata kuwania nafasi hiyo.

EmoticonEmoticon