Kiongozi wa Cuba Mwanamapinduzi Fidel Castro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika jijini la Havana. Kifo hicho kimethibitishwa kwenye taarifa iliyotolewa televisheni ya taifa nchini humo na ndugu yake Rais Raul Castro.
Kiongozi Mkuu huyo wa Mapinduzi ya Cuba amefariki dunia majira ya saa nne usiku kuamkia le akiwa na umri miaka 90.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon