Wakili huyo amedai kuwa mtuhumiwa anapaswa kukaa masaa 24 tu kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai. Hivyo kesi imeadhimia kuwataka RCO, Mwenasheria Mkuu na IGP wamlete Lema Mahakamani kwa amri ya Mahakama.
Aidha kwa upande wa Jeshi la Polisi limeeleza kuwa upelelezi juu ya Mbunge huyo wa Arusha Mjini bado haujakamilika.

EmoticonEmoticon