MITANDAO KUDHIBITIWA

23:31

Kampuni kubwa za kiteknolojia Duniani zimeanzisha programu mpya itakayosaidia kupunguza kasi ya uchochezi na misimamo mikali mitandaoni.
Twitter, Facebook, na Microsoft watakapo baini kuwepo kwa taarifa za aina hiyo wata zitambulisha kwa alama maalumu.
Suala hili litahimiza umakini ili kurahisisha utambuzi wa taarifa chochezi zitatokea katika mitandao yao.
Kampuni hizo zimearifu kuwa mchakato huo hauta jiendesha wenyewe ili kuepusha upotoshaji usiotarajiwa kwa waandishi na taarifa nyingine zinazo ashiria vurugu japo kuwa hazi chochei moja kwa moja

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »